Sifa sifa
1. Sifa sifa kwake Mungu, ametuma Mwokozi
Ame atsha ufalume, utukufu, (juu) mbinguni
2. Tazameni nyota iyo, imeenda Bethlemu
Wa majusi, wame enda, na zawadi (yao) kwa Yesu
3. Sisi wote tutoleye, myoyo zetu, kwa Yezu
Twimbe wote, aleluya, kwa furaha, kwa shangwe
Refrain. Emanueli (2x)
Mungu wetu (ekokati yetu)
Kati yetu aleluya aleluya sifa kwake, sifa kwake
Sifa kwake (duniani kote) duniani (na mbinguni juu) na mbinguni
Na mbinguni wana sifu